Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 22:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Tena kama ni ng'ombe, au kondoo, msimchinje huyo na mwanawe, wote wawili kwa siku moja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Lakini usimchinje ng'ombe au kondoo siku moja pamoja na ndama wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Lakini usimchinje ng'ombe au kondoo siku moja pamoja na ndama wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Lakini usimchinje ng'ombe au kondoo siku moja pamoja na ndama wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Usimchinje ng’ombe na ndama wake, au kondoo na kitoto chake siku moja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Usimchinje ng’ombe na ndama wake, au kondoo na kitoto chake siku moja.

Tazama sura Nakili




Walawi 22:28
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ya kwanza ya malimbuko ya nchi yako utayaleta na kuyatia ndani ya nyumba ya BWANA, Mungu wako. Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.


Vitu vya kwanza vya malimbuko ya nchi yako utavileta na kuvitia ndani ya nyumba ya BWANA Mungu wako. Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.


Msile nyamafu yoyote; waweza kumpa mgeni aliye ndani ya malango yako, ili apate kula; au kumliza mtu wa mataifa; kwa kuwa wewe u taifa takatifu kwa BWANA, Mungu wako. Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mamaye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo