Walawi 22:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Lakini mnyama yeyote aliye na kilema msimtoe; kwa kuwa hatakubaliwa kwa ajili yenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Ni marufuku kutoa chochote kilicho na dosari kwani hakitakubaliwa kwa faida yenu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Ni marufuku kutoa chochote kilicho na dosari kwani hakitakubaliwa kwa faida yenu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Ni marufuku kutoa chochote kilicho na dosari kwani hakitakubaliwa kwa faida yenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Kamwe usitoe kitu chochote chenye dosari kwa sababu hakitakubaliwa kwa niaba yako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Kamwe usitoe kitu chochote chenye dosari kwa sababu hakitakubaliwa kwa niaba yako. Tazama sura |