Walawi 22:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Na binti ya kuhani ikiwa ameolewa na mgeni, asile katika sadaka ya kuinuliwa katika vitu vile vitakatifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Kama binti yake kuhani ameolewa na mtu asiye kuhani, haruhusiwi kula sadaka ya vitu vitakatifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Kama binti yake kuhani ameolewa na mtu asiye kuhani, haruhusiwi kula sadaka ya vitu vitakatifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Kama binti yake kuhani ameolewa na mtu asiye kuhani, haruhusiwi kula sadaka ya vitu vitakatifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Ikiwa binti ya kuhani ameolewa na mtu asiye kuhani, binti huyo haruhusiwi kula chochote cha matoleo matakatifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Ikiwa binti wa kuhani ameolewa na mtu asiye kuhani, binti huyo haruhusiwi kula chochote cha matoleo matakatifu. Tazama sura |