Walawi 21:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC22 Atakula chakula cha Mungu wake, katika hicho kilicho kitakatifu sana, na hicho kilicho kitakatifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Mtu huyo anaweza kula mkate wa Mungu wake, vitu vitakatifu na vile vitakatifu kabisa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Mtu huyo anaweza kula mkate wa Mungu wake, vitu vitakatifu na vile vitakatifu kabisa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Mtu huyo anaweza kula mkate wa Mungu wake, vitu vitakatifu na vile vitakatifu kabisa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Anaweza kula chakula kitakatifu sana cha Mungu wake, pia hata chakula kitakatifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Anaweza kula chakula kitakatifu sana cha Mungu wake, pia hata chakula kitakatifu. Tazama sura |