Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 20:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Tena mwanamume akimtwaa mke wa nduguye, ni upotovu; ameufunua utupu wa nduguye; hao watakuwa hawana wana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Kama mwanamume akimwoa mke wa ndugu yake, anamwaibisha ndugu yake, huo ni unajisi; wote wawili watakufa bila watoto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Kama mwanamume akimwoa mke wa ndugu yake, anamwaibisha ndugu yake, huo ni unajisi; wote wawili watakufa bila watoto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Kama mwanamume akimwoa mke wa ndugu yake, anamwaibisha ndugu yake, huo ni unajisi; wote wawili watakufa bila watoto.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 “ ‘Ikiwa mwanaume ataoa mke wa ndugu yake, hili ni tendo chafu; amemwaibisha ndugu yake. Nao hawatazaa mtoto.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 “ ‘Ikiwa mwanaume ataoa mke wa ndugu yake, hili ni tendo chafu; amemwaibisha ndugu yake. Nao hawatazaa mtoto.

Tazama sura Nakili




Walawi 20:21
2 Marejeleo ya Msalaba  

Usifunue utupu wa mke wa nduguyo; maana, ni utupu wa nduguyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo