Walawi 2:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Nawe kwamba wamtolea BWANA sadaka ya unga ya malimbuko, utatoa hiyo ngano katika masuke yake iliyochomwa motoni, ngano iliyopondwa ya masuke mabichi, ndiyo utakayoleta kuwa sadaka ya unga ya malimbuko yako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 “Ukimtolea Mwenyezi-Mungu sadaka ya mazao yako ya kwanza utaitoa hiyo ikiwa imechomwa katika masuke yake, au utaitoa katika mikate ya kuokwa iliyotengenezwa kwa ngano iliyosagwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 “Ukimtolea Mwenyezi-Mungu sadaka ya mazao yako ya kwanza utaitoa hiyo ikiwa imechomwa katika masuke yake, au utaitoa katika mikate ya kuokwa iliyotengenezwa kwa ngano iliyosagwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 “Ukimtolea Mwenyezi-Mungu sadaka ya mazao yako ya kwanza utaitoa hiyo ikiwa imechomwa katika masuke yake, au utaitoa katika mikate ya kuokwa iliyotengenezwa kwa ngano iliyosagwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 “ ‘Ukileta malimbuko ya sadaka ya nafaka kwa Mwenyezi Mungu, utatoa masuke yaliyopondwa ya nafaka mpya iliyookwa kwa moto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 “ ‘Kama ukileta malimbuko ya sadaka ya nafaka kwa bwana, utatoa masuke yaliyopondwa ya nafaka mpya iliyookwa kwa moto. Tazama sura |