Walawi 19:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC37 Zishikeni sheria zangu, na hukumu zangu, na kuzitenda. Mimi ndimi BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Ni lazima kuyashika na kuyatekeleza masharti yangu na maagizo yangu. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Ni lazima kuyashika na kuyatekeleza masharti yangu na maagizo yangu. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Ni lazima kuyashika na kuyatekeleza masharti yangu na maagizo yangu. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 “ ‘Shika amri zangu zote na sheria zangu zote, nawe uzifuate. Mimi ndimi Mwenyezi Mungu.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 “ ‘Shika amri zangu zote na sheria zangu zote, nawe uzifuate. Mimi ndimi bwana.’ ” Tazama sura |