Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 19:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

33 Na mgeni akikaa pamoja nawe katika nchi yako, usimdhulumu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 “Kama kuna mgeni katika nchi yako usimtendee vibaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 “Kama kuna mgeni katika nchi yako usimtendee vibaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 “Kama kuna mgeni katika nchi yako usimtendee vibaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 “ ‘Wakati mgeni anaishi pamoja nawe katika nchi yako, usimnyanyase.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 “ ‘Wakati mgeni anaishi pamoja nawe katika nchi yako, usimnyanyase.

Tazama sura Nakili




Walawi 19:33
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu atakayemchinjia sadaka mungu yeyote, isipokuwa ni yeye BWANA peke yake, na angamizwe kabisa.


Usimwonee mgeni, wala kumtendea jeuri; kwa kuwa ninyi mlikuwa wageni katika nchi ya Misri.


Usimwonee mgeni; maana, ninyi mwajua moyo wa mgeni ulivyo, kwa kuwa ninyi mlikuwa wageni katika nchi ya Misri.


kama hamwonei mgeni, wala yatima, wala mjane, wala kumwaga damu isiyo na hatia mahali hapa, wala kuifuata miungu mingine kwa hasara yenu wenyewe;


Watu wa nchi wametumia udhalimu, wamenyang'anya kwa nguvu; naam, wamewatenda jeuri maskini na wahitaji, nao wamewaonea wageni bila haki.


Ndani yako wamedharau baba na mama; kati yako wamewatenda wageni udhalimu; ndani yako wamewaonea yatima na mjane.


Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami sitasita kutoa ushahidi juu ya wachawi; na juu ya wazinzi, na juu ya waapao kwa uongo; juu ya wamwoneao mwajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi mimi, asema BWANA wa majeshi.


Usimwonee mtumishi mwenye ujira aliye maskini na uhitaji, kama ni wa nduguzo, au kama ni wageni wako mmojawapo walio katika nchi yako, ndani ya malango yako;


Usipotoshe hukumu ya mgeni, wala ya yatima; wala usitwae mavazi ya mjane, yawe rehani;


bali kumbuka ya kuwa ulikuwa mtumwa katika Misri, BWANA, Mungu wako, akakukomboa huko; kwa hiyo nakuamuru kutenda neno hili.


Na alaaniwe apotoaye hukumu ya mgeni, na yatima, na mjane aliyefiliwa na mumewe. Na watu wote waseme, Amina.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo