Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 19:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

27 Msinyoe denge pembe za vichwani, wala msiharibu pembe za ndevu zenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Nywele zenu msizikate pembeni wala kunyoa ndevu zenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Nywele zenu msizikate pembeni wala kunyoa ndevu zenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Nywele zenu msizikate pembeni wala kunyoa ndevu zenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 “ ‘Msikate nywele za kichwa denge, wala kunyoa pembe za ndevu zenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 “ ‘Msikate nywele za kichwa denge, wala kunyoa pembe za ndevu zenu.

Tazama sura Nakili




Walawi 19:27
11 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Hanuni akawatwaa watumishi wa Daudi, akawanyoa, akawapasulia nguo zao katikati, hadi kiunoni, kisha akawaachilia waondoke.


Wanapanda juu hata Bayithi na Diboni, mpaka mahali palipo juu ili walie; juu ya Nebo na juu ya Medeba Wamoabi wanalia; Wana upaa juu ya vichwa vyao vyote; kila ndevu zimenyolewa.


Wakubwa kwa wadogo wote pia watakufa katika nchi hii; hawatazikwa, wala watu hawatawalilia, wala kujikatakata kwa ajili yao, wala kujinyoa kwa ajili yao;


wakafika watu kadhaa toka Shekemu, na toka Shilo, na toka Samaria, watu themanini, nao wamenyoa ndevu zao, na kurarua nguo zao, nao wamejikatakata, wakichukua sadaka na ubani mikononi mwao, ili wazilete nyumbani kwa BWANA.


Maana kila kichwa kina upara, na ndevu zote zimenyolewa; mikono yote ina alama za chale, na viuno vyote vimevikwa nguo za magunia.


Tazama, siku zinakuja, asema BWANA, nitakapowaadhibu wote waliotahiriwa katika hali yao ya kutotahiriwa;


Hawatanyoa vichwa vyao, wala hawataacha nywele zao kuwa ndefu sana; watazipunguza nywele za vichwa vyao tu.


Tena watajifungia nguo za magunia, na utisho utawafunika; na aibu itakuwa juu ya nyuso zote, na upaa juu ya vichwa vyao vyote.


Msichanje chale yoyote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA.


Wasijifanyie upara kichwani, wala wasinyoe pembe za ndevu zao, wala wasichanje tojo katika miili yao.


Ninyi mmekuwa wana wa BWANA, Mungu wenu; msijitoje miili yenu, wala msifanye upaa katikati ya macho yenu kwa ajili ya aliyekufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo