Walawi 18:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC29 Kwani mtu yeyote atakayefanya mojawapo ya machukizo hayo, nafsi hizo zitakazoyafanya zitakatiliwa mbali na watu wao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Watu wote watakaofanya mambo hayo ya kuchukiza ni lazima watengwe mbali na watu wao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Watu wote watakaofanya mambo hayo ya kuchukiza ni lazima watengwe mbali na watu wao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Watu wote watakaofanya mambo hayo ya kuchukiza ni lazima watengwe mbali na watu wao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 “ ‘Kila mtu atakayefanya mojawapo ya machukizo haya, watu hao ni lazima wakatiliwe mbali na watu wao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 “ ‘Kila mtu atakayefanya mojawapo ya machukizo haya, watu hao ni lazima wakatiliwe mbali na watu wao. Tazama sura |