Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 18:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Usilale na mke wa mwenzio, ukajitia unajisi naye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Kamwe usilale na mke wa jirani yako na hivyo kujitia mwenyewe najisi naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Kamwe usilale na mke wa jirani yako na hivyo kujitia mwenyewe najisi naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Kamwe usilale na mke wa jirani yako na hivyo kujitia mwenyewe najisi naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 “ ‘Usikutane kimwili na mke wa jirani yako na kujitia naye unajisi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 “ ‘Usikutane kimwili na mke wa jirani yako na kujitia naye unajisi.

Tazama sura Nakili




Walawi 18:20
17 Marejeleo ya Msalaba  

Hata maombolezo hayo yalipokwisha, Daudi akatuma mtu, akamtwaa, akamtia nyumbani mwake; naye akawa mkewe, akamzalia mtoto wa kiume. Lakini jambo lile alilolitenda Daudi likamchukiza BWANA.


Usiutamani uzuri wake moyoni mwako; Wala usikubali akunase kwa kope za macho yake.


hakula juu ya milima, wala hakuviinulia macho vinyago vya nyumba ya Israeli, wala hakumtia unajisi mke wa jirani yake, wala hakumkaribia mwanamke wakati wa kutengwa kwake;


Na mtu aziniye na mke wa mtu mwingine, yeye aziniye na mke wa jirani yake, mwanamume aziniye, na mwanamke aziniye, hakika watauawa.


Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami sitasita kutoa ushahidi juu ya wachawi; na juu ya wazinzi, na juu ya waapao kwa uongo; juu ya wamwoneao mwajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi mimi, asema BWANA wa majeshi.


na mwanamume akalala naye kwa uasherati, na jambo hilo likafichika kwa mumewe, likawa jambo lisilojulikana, na huyo mwanamke akawa najisi, wala hapana shahidi aliyeshuhudia juu yake, wala hakufumaniwa;


Wewe usemaye kwamba mtu asizini, wazini mwenyewe? Wewe uchukiaye sanamu, wayaibia mahekalu?


Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,


Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi,


Akifumaniwa mtu mume amelala na mwanamke aliyeolewa na mume, na wafe wote wawili, mtu mume aliyelala na mwanamke, na yule mwanamke naye; ndivyo utakavyoondoa uovu katika Israeli.


Lakini yule mtu mume kama akimkuta kondeni binti aliyeposwa, naye mume akamtenza nguvu, akalala naye; yule mtu mume aliyelala naye na afe pekee;


Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo