Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 17:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Mtu yeyote aliye wa wana wa Israeli, au wa hao wageni wakaao kati yenu, ambaye amemshika mnyama, au ndege ambaye huliwa, katika kuwinda kwake; atamwaga damu yake, na kuifunikia mchangani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 “Mtu yeyote miongoni mwa Waisraeli au mgeni anayekaa miongoni mwao akienda kuwinda mnyama au ndege, ni lazima aimwage damu chini na kuifunika kwa udongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 “Mtu yeyote miongoni mwa Waisraeli au mgeni anayekaa miongoni mwao akienda kuwinda mnyama au ndege, ni lazima aimwage damu chini na kuifunika kwa udongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 “Mtu yeyote miongoni mwa Waisraeli au mgeni anayekaa miongoni mwao akienda kuwinda mnyama au ndege, ni lazima aimwage damu chini na kuifunika kwa udongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 “ ‘Mwisraeli yeyote au mgeni anayeishi miongoni mwenu ambaye atamwinda mnyama au ndege anayeruhusiwa kuliwa ni lazima aimwage damu na kuifunika kwa udongo,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 “ ‘Mwisraeli yeyote au mgeni anayeishi miongoni mwenu ambaye atamwinda mnyama au ndege anayeruhusiwa kuliwa ni lazima aimwage damu na kuifunika kwa udongo,

Tazama sura Nakili




Walawi 17:13
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ee nchi, usiifunike damu yangu, Na kilio changu kisipate mahali pa kupumzika.


Maana kwa malaya mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate; Na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani


Maana damu yake imo ndani yake; aliiweka juu ya jabali lililo wazi; hakuimwaga juu ya nchi, apate kuifunika kwa mavumbi;


Kwa hiyo niliwaambia wana wa Israeli, Hapana mtu miongoni mwenu aliye na ruhusa kula damu, wala mgeni aishiye kati yenu asile damu.


Tena msiile damu yoyote, ama ya ndege, ama ya mnyama, katika nyumba zenu zote.


Lakini msiile damu; imwageni juu ya nchi kama maji.


Usiile; imwage juu ya nchi kama maji.


Pamoja na haya usile damu yake; uimwage nchi kama maji.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo