Walawi 16:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 Ni Sabato ya raha ya makini kwenu nanyi mtajinyima; ni amri ya milele. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Siku hiyo ni siku ya mapumziko kamili nanyi mtafunga. Kanuni hiyo ni ya kudumu milele. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Siku hiyo ni siku ya mapumziko kamili nanyi mtafunga. Kanuni hiyo ni ya kudumu milele. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Siku hiyo ni siku ya mapumziko kamili nanyi mtafunga. Kanuni hiyo ni ya kudumu milele. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Ni Sabato ya mapumziko, na lazima mfunge; ni agizo la kudumu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Ni Sabato ya mapumziko, na lazima mfunge; ni agizo la kudumu. Tazama sura |