Walawi 16:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC28 Na yeye awachomaye moto atafua nguo zake, na kuosha mwili wake kwa maji, na baadaye ataingia kambini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Yule mtu atakayewateketeza atayafua mavazi yake na kuoga, ndipo atakapoweza kuingia kambini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Yule mtu atakayewateketeza atayafua mavazi yake na kuoga, ndipo atakapoweza kuingia kambini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Yule mtu atakayewateketeza atayafua mavazi yake na kuoga, ndipo atakapoweza kuingia kambini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 Mtu atakayevichoma ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji; baadaye ataweza kuingia kambini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 Mtu atakayevichoma ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji; baadaye ataweza kuingia kambini. Tazama sura |