Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 16:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

25 Na mafuta ya sadaka ya dhambi atayateketeza juu ya madhabahu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Mafuta ya sadaka ya kuondoa dhambi atayateketeza juu ya madhabahu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Mafuta ya sadaka ya kuondoa dhambi atayateketeza juu ya madhabahu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Mafuta ya sadaka ya kuondoa dhambi atayateketeza juu ya madhabahu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Pia atachoma mafuta ya mnyama wa sadaka ya dhambi juu ya madhabahu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Pia atachoma mafuta ya mnyama wa sadaka ya dhambi juu ya madhabahu.

Tazama sura Nakili




Walawi 16:25
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha twaa mafuta yote yafunikayo matumbo, na kitambi kilicho katika ini, na figo mbili, na mafuta yaliyo juu yake, uyateketeze yote juu ya madhabahu.


naye ataosha mwili wake kwa maji mahali patakatifu, na kuvaa nguo zake, na kutoka, na kusongeza sadaka ya kuteketezwa yake mwenyewe, na sadaka ya kuteketezwa ya watu, naye atafanya upatanisho kwa ajili ya nafsi yake, na kwa ajili ya watu.


Na mtu yule amwachaye mbuzi wa Azazeli aende zake, ataosha nguo zake, na kuosha mwili wake kwa maji, na baadaye ataingia katika kambi.


Na Haruni atamtoa yule ng'ombe wa sadaka ya dhambi, aliye kwa ajili ya nafsi yake, na kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe, na kwa ajili ya nyumba yake.


Naye atasongeza katika sadaka hiyo ya amani, dhabihu kwa BWANA itakayofanywa kwa njia ya moto; yaani, mafuta yafunikayo matumbo, na mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,


Kisha atayaondoa mafuta yake yote na kuyateketeza juu ya madhabahu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo