Walawi 15:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC28 Lakini huyo mwanamke akiwa ametakaswa na kule kutoka damu kwake, ndipo atakapojihesabia siku saba, na baadaye atakuwa safi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Baada ya kukauka damu yake mwanamke huyo atangoja hadi siku saba ili kuwa safi; na baada ya muda huo atakuwa safi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Baada ya kukauka damu yake mwanamke huyo atangoja hadi siku saba ili kuwa safi; na baada ya muda huo atakuwa safi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Baada ya kukauka damu yake mwanamke huyo atangoja hadi siku saba ili kuwa safi; na baada ya muda huo atakuwa safi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 “ ‘Atakapotakasika kutoka hedhi yake, ni lazima ahesabu siku saba, na baada ya hapo atakuwa ametakasika kabisa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 “ ‘Wakati atakapotakasika kutoka hedhi yake, ni lazima ahesabu siku saba, na baada ya hapo atakuwa safi kwa kawaida ya ibada. Tazama sura |