Walawi 15:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Na kitu chochote ambacho anakalia katika kutengwa kwake kitakuwa najisi; na kila kitu ambacho amekalia kitakuwa najisi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Kitu chochote anacholalia au kukalia wakati yu najisi, kitakuwa najisi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Kitu chochote anacholalia au kukalia wakati yu najisi, kitakuwa najisi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Kitu chochote anacholalia au kukalia wakati yu najisi, kitakuwa najisi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 “ ‘Chochote atakacholalia wakati wake wa hedhi kitakuwa najisi, na chochote atakachokikalia kitakuwa najisi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 “ ‘Chochote atakacholalia wakati wake wa hedhi kitakuwa najisi, na chochote atakachokikalia kitakuwa najisi. Tazama sura |