Walawi 14:57 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC57 ili kufunza itakapokuwa ni unajisi, na itakapokuwa ni safi; hiyo ndiyo sheria ya ukoma. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema57 ili kuonesha ni kitu gani kilicho najisi na kisicho najisi. Hiyo ndiyo sheria kuhusu namna ya upele wa ukoma. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND57 ili kuonesha ni kitu gani kilicho najisi na kisicho najisi. Hiyo ndiyo sheria kuhusu namna ya upele wa ukoma. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza57 ili kuonesha ni kitu gani kilicho najisi na kisicho najisi. Hiyo ndiyo sheria kuhusu namna ya upele wa ukoma. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu57 kupambanua wakati kitu fulani ni safi au najisi. Haya ndio masharti kuhusu magonjwa ya ngozi ya kuambukiza na ukoma. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu57 kupambanua wakati kitu fulani ni safi au najisi. Haya ndiyo masharti kuhusu magonjwa ya ngozi ya kuambukiza na upele. Tazama sura |