Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 14:56 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

56 na kivimbe, na kikoko na kipaku king'aacho;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

56 uvimbe, jipu au kipaku,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

56 uvimbe, jipu au kipaku,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

56 uvimbe, jipu au kipaku,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

56 kwa uvimbe, upele, au alama nyeupe katika ngozi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

56 kwa uvimbe, vipele au kipaku king’aacho,

Tazama sura Nakili




Walawi 14:56
3 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu atakapokuwa na uvimbe katika ngozi ya mwili wake, au upele, au kipaku king'aacho, nao ukawa ni ugonjwa wa ukoma katika ngozi ya mwili wake, ndipo atakapoletwa kwa Haruni kuhani, au kwa mmojawapo wa wanawe makuhani;


na huyo kuhani ataliangalia hilo pigo lililo katika ngozi ya mwili; na nywele zilizoko katika hilo pigo zimegeuka kuwa nyeupe, na hilo pigo kuonekana kwake limeingia ndani kuliko ile ngozi ya mwili wake, ni pigo la ukoma hilo; na ikiwa nywele zilizoko katika sehemu zilizougua zimegeuka rangi na kuwa nyeupe, na hilo pigo kuonekana limeingia ndani kuliko ile ngozi ya mwili, hilo ni pigo la ukoma,


ili kufunza itakapokuwa ni unajisi, na itakapokuwa ni safi; hiyo ndiyo sheria ya ukoma.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo