Walawi 14:50 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC50 naye atamchinja mmojawapo wa ndege hao katika chombo cha udongo kilicho juu ya maji ya mtoni; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema50 Atamchinja ndege mmoja katika chungu chenye maji safi ya chemchemi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND50 Atamchinja ndege mmoja katika chungu chenye maji safi ya chemchemi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza50 Atamchinja ndege mmoja katika chungu chenye maji safi ya chemchemi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu50 Atamchinja mmoja wa wale ndege kwenye chungu chenye maji safi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu50 Atamchinja mmoja wa wale ndege kwenye chungu chenye maji safi. Tazama sura |