Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 14:50 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

50 naye atamchinja mmojawapo wa ndege hao katika chombo cha udongo kilicho juu ya maji ya mtoni;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

50 Atamchinja ndege mmoja katika chungu chenye maji safi ya chemchemi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

50 Atamchinja ndege mmoja katika chungu chenye maji safi ya chemchemi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

50 Atamchinja ndege mmoja katika chungu chenye maji safi ya chemchemi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

50 Atamchinja mmoja wa wale ndege kwenye chungu chenye maji safi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

50 Atamchinja mmoja wa wale ndege kwenye chungu chenye maji safi.

Tazama sura Nakili




Walawi 14:50
5 Marejeleo ya Msalaba  

ndipo huyo kuhani ataagiza kwamba watwae kwa ajili yake atakayetakaswa ndege wawili walio hai, ambao ni safi, na mti wa mwerezi, na sufu nyekundu, na hisopo;


Naye atatwaa ndege wawili, na mti wa mwerezi, na sufu nyekundu, na hisopo, kwa kuitakasa hiyo nyumba;


kisha kuhani ataagiza ndege mmoja achinjwe katika chombo cha udongo kilicho juu ya maji ya mtoni;


kisha atatwaa huo mti wa mwerezi, na hisopo, na sufu nyekundu, pamoja na huyo ndege aliye hai, na kuvichovya vyote katika damu ya huyo ndege aliyechinjwa, na katika hayo maji ya mtoni, na kuinyunyizia nyumba mara saba;


kisha huyo ndege aliye hai atamshika, na huo mti wa mwerezi, na hiyo sufu nyekundu, na hisopo, naye atavichovya, pamoja na yule ndege aliye hai, katika damu ya huyo ndege aliyechinjwa juu ya maji ya mtoni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo