Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 14:47 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

47 Na mtu alalaye ndani ya nyumba hiyo atazifua nguo zake, naye alaye chakula ndani ya nyumba hiyo atazifua nguo zake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

47 Yeyote anayelala katika nyumba hiyo au kulia chakula ndani yake, lazima ayafue mavazi yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

47 Yeyote anayelala katika nyumba hiyo au kulia chakula ndani yake, lazima ayafue mavazi yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

47 Yeyote anayelala katika nyumba hiyo au kulia chakula ndani yake, lazima ayafue mavazi yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

47 Yeyote atakayelala au kula ndani ya nyumba hiyo ni lazima afue nguo zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

47 Yeyote atakayelala au kula ndani ya nyumba hiyo ni lazima afue nguo zake.

Tazama sura Nakili




Walawi 14:47
4 Marejeleo ya Msalaba  

na mtu awaye yote atakayechukua chochote cha mizoga yao atafua nguo zake, naye atakuwa najisi hata jioni.


Tena mtu atakayeingia ndani ya hiyo nyumba wakati huo wote iliofungwa, atakuwa najisi hadi jioni.


Kisha kuhani akiingia ndani kukagua na kuona kuwa pigo halikuenea katika hiyo nyumba baada ya nyumba kupakwa chokaa; ndipo kuhani atatangaza kuwa nyumba hiyo ni safi, maana pigo limepoa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo