Walawi 14:46 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC46 Tena mtu atakayeingia ndani ya hiyo nyumba wakati huo wote iliofungwa, atakuwa najisi hadi jioni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema46 Zaidi ya hayo, yeyote atakayeingia ndani ya nyumba hiyo wakati itakapokuwa imefungwa, atakuwa najisi mpaka jioni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND46 Zaidi ya hayo, yeyote atakayeingia ndani ya nyumba hiyo wakati itakapokuwa imefungwa, atakuwa najisi mpaka jioni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza46 Zaidi ya hayo, yeyote atakayeingia ndani ya nyumba hiyo wakati itakapokuwa imefungwa, atakuwa najisi mpaka jioni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu46 “Yeyote atakayeingia katika nyumba hiyo ikiwa imefungwa, atakuwa najisi hadi jioni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu46 “Yeyote atakayeingia katika nyumba hiyo ikiwa imefungwa, atakuwa najisi mpaka jioni. Tazama sura |