Walawi 14:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC39 siku ya saba kuhani atakwenda tena, naye ataangalia; na tazama, likiwa pigo limeenea katika kuta za nyumba; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema39 Siku ya saba kuhani atarudi na kuiangalia tena nyumba hiyo. Ikiwa upele huo umeenea katika kuta za nyumba hiyo, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND39 Siku ya saba kuhani atarudi na kuiangalia tena nyumba hiyo. Ikiwa upele huo umeenea katika kuta za nyumba hiyo, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza39 Siku ya saba kuhani atarudi na kuiangalia tena nyumba hiyo. Ikiwa upele huo umeenea katika kuta za nyumba hiyo, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu39 Siku ya saba, kuhani atarudi kuikagua nyumba. Kama ukoma umeenea juu ya kuta, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu39 Siku ya saba, kuhani atarudi kuikagua nyumba. Kama upele umeenea juu ya kuta, Tazama sura |