Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 14:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

38 ndipo kuhani atatoka katika nyumba hiyo mpaka mlangoni pa nyumba, na kuifunga hiyo nyumba muda wa siku saba;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 basi, kuhani atatoka nje mlangoni na kuifunga nyumba hiyo kwa muda wa siku saba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 basi, kuhani atatoka nje mlangoni na kuifunga nyumba hiyo kwa muda wa siku saba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 basi, kuhani atatoka nje mlangoni na kuifunga nyumba hiyo kwa muda wa siku saba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 kuhani atatoka na kufunga mlango wa nyumba hiyo kwa siku saba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 kuhani atatoka na kufunga mlango wa nyumba hiyo kwa siku saba.

Tazama sura Nakili




Walawi 14:38
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini ikiwa kipaku king'aacho katika ngozi ya mwili wake ni cheupe, na kuonekana si shimo la kuingia ndani kuliko ngozi wala nywele hazikugeuka kuwa nyeupe, ndipo kuhani atamweka mahali muda wa siku saba huyo aliye na hilo pigo;


na kuhani ataliangalia hilo pigo, naye atakiweka mahali kile kilicho na pigo muda wa siku saba;


naye ataliangalia hilo pigo, na tazama, likiwa pigo limo ndani ya kuta za nyumba, nalo lina mashimo-mashimo, rangi ya majani, au mekundu, na kuonekana kuingia ndani kuliko huo ukuta;


siku ya saba kuhani atakwenda tena, naye ataangalia; na tazama, likiwa pigo limeenea katika kuta za nyumba;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo