Walawi 14:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC38 ndipo kuhani atatoka katika nyumba hiyo mpaka mlangoni pa nyumba, na kuifunga hiyo nyumba muda wa siku saba; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema38 basi, kuhani atatoka nje mlangoni na kuifunga nyumba hiyo kwa muda wa siku saba. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND38 basi, kuhani atatoka nje mlangoni na kuifunga nyumba hiyo kwa muda wa siku saba. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza38 basi, kuhani atatoka nje mlangoni na kuifunga nyumba hiyo kwa muda wa siku saba. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu38 kuhani atatoka na kufunga mlango wa nyumba hiyo kwa siku saba. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu38 kuhani atatoka na kufunga mlango wa nyumba hiyo kwa siku saba. Tazama sura |