Walawi 13:53 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC53 Na kama kuhani akitazama, ikiwa hilo pigo halikuenea katika hilo vazi, wala katika hilo lililofumwa, wala katika hilo lililosokotwa, wala katika kitu chochote cha ngozi; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema53 “Kama kuhani ataona kuwa upele haukuenea katika vazi, basi, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND53 “Kama kuhani ataona kuwa upele haukuenea katika vazi, basi, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza53 “Kama kuhani ataona kuwa upele haukuenea katika vazi, basi, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu53 “Lakini kuhani akilichunguza na akaona kuwa ule ukoma haujaenea kwenye vazi, au vazi lililofumwa au kusokotwa, au kitu cha ngozi, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu53 “Lakini wakati kuhani atakapokichunguza na kuona kuwa ule upele haujaenea kwenye nguo iliyofumwa au kusokotwa, au vifaa vya ngozi, Tazama sura |