Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 13:53 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

53 Na kama kuhani akitazama, ikiwa hilo pigo halikuenea katika hilo vazi, wala katika hilo lililofumwa, wala katika hilo lililosokotwa, wala katika kitu chochote cha ngozi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

53 “Kama kuhani ataona kuwa upele haukuenea katika vazi, basi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

53 “Kama kuhani ataona kuwa upele haukuenea katika vazi, basi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

53 “Kama kuhani ataona kuwa upele haukuenea katika vazi, basi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

53 “Lakini kuhani akilichunguza na akaona kuwa ule ukoma haujaenea kwenye vazi, au vazi lililofumwa au kusokotwa, au kitu cha ngozi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

53 “Lakini wakati kuhani atakapokichunguza na kuona kuwa ule upele haujaenea kwenye nguo iliyofumwa au kusokotwa, au vifaa vya ngozi,

Tazama sura Nakili




Walawi 13:53
3 Marejeleo ya Msalaba  

likiwa limefumwa, au kusokotwa; likiwa ni la kitani au la sufu; liwe katika ngozi, au kitu chochote kilichofanywa cha ngozi;


Naye ataliteketeza vazi hilo, liwe ni la kufumwa au ni la kusokotwa, kama ni la sufu, au la kitani, au kitu chochote cha ngozi, ambacho kina hilo pigo ndani yake; kwa maana, ni ukoma unaona; vazi hilo litateketezwa;


ndipo kuhani ataamuru kwamba wakifue kitu kile kilicho na hilo pigo, naye atakiweka mahali muda wa siku saba tena;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo