Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 13:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

39 ndipo kuhani ataangalia; ikiwa vile vipaku ving'aavyo vilivyo katika ngozi ya mwili wake ni vyeupe kidogo; ni mba iliyotokeza katika ngozi; yeye ni safi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 kuhani atamwangalia mtu huyo. Iwapo kuhani ataona kuwa alama hizo ni nyeupe kiasi, huo ni upele wa kawaida; mtu huyo ni safi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 kuhani atamwangalia mtu huyo. Iwapo kuhani ataona kuwa alama hizo ni nyeupe kiasi, huo ni upele wa kawaida; mtu huyo ni safi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 kuhani atamwangalia mtu huyo. Iwapo kuhani ataona kuwa alama hizo ni nyeupe kiasi, huo ni upele wa kawaida; mtu huyo ni safi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 kuhani atamchunguza, na kama alama hizo zina weupe uliofifia, ni vipele visivyo na madhara vilivyojitokeza kwenye ngozi; mtu huyo ni safi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 kuhani atamchunguza, na kama alama hizo zina weupe uliofifia, ni vipele visivyo na madhara vilivyojitokeza kwenye ngozi; mtu huyo ni safi.

Tazama sura Nakili




Walawi 13:39
5 Marejeleo ya Msalaba  

Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani, atendaye mema pasipo kutenda dhambi.


Mwanamume au mwanamke, atakapokuwa na vipaku ving'aavyo katika ngozi ya mwili, vipaku ving'aavyo vyeupe;


Kwamba nywele za mtu zimemtoka kichwani mwake, yeye ni mwenye upara, ni safi.


Maana twajikwaa sisi sote pia katika mambo mengi. Mtu asiyejikwaa katika kunena, huyo ni mtu mkamilifu, awezaye kuuzuia na mwili wake wote kama kwa lijamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo