Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 13:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Mwanamume au mwanamke atakapopatwa na maradhi kichani au kidevuni,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 “Kama mtu yeyote mwanamume au mwanamke, ana kidonda kichwani au kidevuni,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 “Kama mtu yeyote mwanamume au mwanamke, ana kidonda kichwani au kidevuni,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 “Kama mtu yeyote mwanamume au mwanamke, ana kidonda kichwani au kidevuni,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 “Ikiwa mwanaume au mwanamke ana kidonda juu ya kichwa au juu ya kidevu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 “Ikiwa mwanaume au mwanamke ana kidonda juu ya kichwa au juu ya kidevu,

Tazama sura Nakili




Walawi 13:29
19 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo mfalme akafanya shauri, akatengeneza ng'ombe wawili wa dhahabu, akawaambia watu, Ni vigumu kwenu kupanda kwenda Yerusalemu; tazama, hii ndiyo miungu yenu, enyi Israeli, iliyowapandisha kutoka nchi ya Misri.


maombi yoyote au dua yoyote ikifanywa na mtu yeyote, au na watu wako Israeli wote pamoja, watakaojua kila mtu maradhi ya moyo wake, na kuikunjua mikono yake kuielekea nyumba hii;


yoyote atakayoyaomba na kusihi mtu awaye yote, au watu wako Israeli wote pamoja, watakaojua kila mtu pigo lake mwenyewe, na msiba wake mwenyewe, akiinyoshea mikono nyumba hii;


Nami niliposikia hayo, nikararua nguo yangu na joho langu, nikang'oa nywele za kichwa changu, na ndevu zangu, nikaketi kwa mshangao.


Je! Wafanyao maovu hawajui? Walao watu wangu kama walavyo mkate, Hawakumwita MUNGU.


Mbona mnataka kupigwa, hata sasa, hata mkazidi kuasi? Kichwa chote ni kigonjwa, moyo wote umezimia.


Ole wao wasemao kwamba uovu ni wema, na kwamba wema ni uovu; watiao giza badala ya nuru, na nuru badala ya giza; watiao uchungu badala ya utamu, na utamu badala ya uchungu!


Mzee mwenye kuheshimiwa ndiye kichwa, na nabii afundishaye uongo ndiye mkia.


Nawe, mwanadamu, ujipatie upanga mkali, kama wembe wa kinyozi ujipatie, ukaupitishe juu ya kichwa chako na ndevu zako; kisha ujipatie mizani ya kupimia, ukazigawanye nywele hizo.


Na kama hicho kipaku kikibaki pale pale, wala hakikuenea katika ngozi, lakini kimefifia; ni kufura kwake pale penye moto, na kuhani atasema kuwa ni safi; kwa kuwa ni kovu la kuwasha hili.


ndipo kuhani ataliangalia hilo pigo; ikiwa pigo limeingia ndani kuliko ngozi yenyewe, na nywele zilizomo kuwa za rangi ya manjano na nyembamba, ndipo kuhani atasema kwamba ni najisi, maana ni kipwepwe, ni ukoma wa kichwa au wa kindevu.


Wakuu wake huhukumu ili wapate rushwa, na makuhani wake hufundisha ili wapate ijara, na manabii wake hubashiri ili wapate fedha; ila hata hivyo watamtegemea BWANA, na kusema, Je! Hayupo BWANA katikati yetu? Hapana neno baya lolote litakalotufikia.


Lakini jicho lako likiwa bovu, mwili wako wote utakuwa na giza. Basi ile nuru iliyomo ndani yako ikiwa giza; si giza hilo!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo