Walawi 11:43 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC43 Msifanye nafsi zenu kuwa ni chukizo kwa kitu chochote chenye kutambaa, kitambaacho, wala msifanye nafsi zenu kuwa ni najisi kwa vitu hivyo, mkajipatia uchafu kwa hivyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema43 Hivyo msije mkawa najisi kwa kula viumbe vitambaavyo na hivyo mkawa najisi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND43 Hivyo msije mkawa najisi kwa kula viumbe vitambaavyo na hivyo mkawa najisi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza43 Hivyo msije mkawa najisi kwa kula viumbe vitambaavyo na hivyo mkawa najisi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu43 Msijitie unajisi kwa kiumbe chochote kati ya hivi. Msijitie unajisi kwa viumbe hivyo au kutiwa unajisi navyo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu43 Msijitie unajisi kwa chochote katika viumbe hivi. Msijitie unajisi kwa viumbe hivyo au kutiwa unajisi navyo. Tazama sura |
Kwa ajili ya hayo mtapambanua kati ya mnyama aliye safi na mnyama aliye najisi, na kati ya ndege aliye safi na ndege aliye najisi; nanyi msizifanye nafsi zenu kuwa machukizo kwa njia ya mnyama, au kwa njia ya ndege, au kwa njia ya kitu chochote ambacho nchi imejaa nacho, nilichokitenga nanyi kuwa ni najisi.