Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 11:41 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

41 Na kila kiumbe kitambaacho juu ya nchi ni machukizo; hakitaliwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

41 “Kiumbe chochote kitambaacho duniani ni najisi kwenu, kamwe msikile.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

41 “Kiumbe chochote kitambaacho duniani ni najisi kwenu, kamwe msikile.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

41 “Kiumbe chochote kitambaacho duniani ni najisi kwenu, kamwe msikile.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

41 “ ‘Kila kiumbe kinachotambaa juu ya ardhi ni chukizo; kisiliwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

41 “ ‘Kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi ni chukizo; kisiliwe.

Tazama sura Nakili




Walawi 11:41
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Maji na yajawe kwa wingi na viumbe vyenye uhai, na ndege waruke juu ya nchi katika anga la mbingu.


Wakafa watu wote waendao juu ya nchi, na ndege, na wanyama wa kufugwa, na kila mnyama wa mwitu, na kila kitambaacho chenye kutambaa juu ya nchi, na kila mwanadamu;


Tena vyote vitambaavyo vyenye mabawa viendavyo kwa miguu minne, hivi ni machukizo kwenu.


Lakini vyote vitambaavyo vyenye mabawa, vilivyo na miguu minne, ni machukizo kwenu.


Miongoni mwa viumbe watambaao juu ya nchi, hawa ni najisi kwenu; kicheche, panya na mjombakaka kwa aina zake,


Kila aendaye kwa tumbo lake, na kila aendaye kwa miguu minne, na kila aendaye kwa miguu mingi, maana, ni vyote vyenye kutambaa vitambaavyo juu ya nchi, hamtavila, kwa kuwa ni machukizo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo