Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 11:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

38 Lakini ikiwa hizo mbegu zilitiwa maji na chochote cha mizoga yao kuziangukia, ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Lakini ikiwa mbegu zimetiwa katika maji ili kuota na sehemu yoyote ya mzoga ikaziangukia, basi, mbegu hizo ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Lakini ikiwa mbegu zimetiwa katika maji ili kuota na sehemu yoyote ya mzoga ikaziangukia, basi, mbegu hizo ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Lakini ikiwa mbegu zimetiwa katika maji ili kuota na sehemu yoyote ya mzoga ikaziangukia, basi, mbegu hizo ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Lakini kama mbegu imetiwa maji na mzoga ukaanguka juu yake, hiyo mbegu ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Lakini kama mbegu imetiwa maji na mzoga ukaanguka juu yake, hiyo mbegu ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili




Walawi 11:38
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi mtakuwa najisi kwa wanyama hao; kila atakayegusa mzoga wao atakuwa ni najisi hata jioni;


Na kipande chochote cha mzoga kikiwa kimeangukia mbegu za kupandwa, zitakazopandwa zitakuwa safi.


Mnyama yeyote ambaye mna ruhusa kumla akifa, yeye anayeugusa mzoga wake atakuwa najisi hadi jioni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo