Walawi 11:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Neneni na wana wa Israeli, mkiwaambia, Wanyama hawa ndio wanyama wenye uhai mtakaowala, katika hayawani wote walio juu ya nchi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 “Wawaambie Waisraeli hivi: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 “Wawaambie Waisraeli hivi: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 “Wawaambie Waisraeli hivi: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 “Waambieni Waisraeli: ‘Kati ya wanyama wote wanaoishi juu ya nchi, hawa ndio mtakaowala: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 “Waambieni Waisraeli: ‘Kati ya wanyama wote waishio juu ya nchi, hawa ndio mtakaowala: Tazama sura |