Walawi 1:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 kisha wana wa Haruni, makuhani, watazipanga kuni zilizo juu ya moto uliopo juu ya madhabahu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Kisha makuhani hao watachukua vile vipande vya nyama, kichwa na mafuta, na kuviweka juu ya kuni juu ya madhabahu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Kisha makuhani hao watachukua vile vipande vya nyama, kichwa na mafuta, na kuviweka juu ya kuni juu ya madhabahu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Kisha makuhani hao watachukua vile vipande vya nyama, kichwa na mafuta, na kuviweka juu ya kuni juu ya madhabahu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Kisha hao wana wa Haruni walio makuhani watapanga vile vipande vya nyama, pamoja na kichwa na mafuta ya huyo mnyama, juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kisha wana wa Haruni walio makuhani watapanga vile vipande vya nyama, pamoja na kichwa na mafuta ya huyo mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu. Tazama sura |