Wakolosai 4:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 ambaye nimemtuma kwenu kwa sababu iyo hiyo, ili mjue mambo yetu, naye akawafariji mioyo yenu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Ndiyo maana ninamtuma, ili aichangamshe mioyo yenu kwa kuwaambieni habari zetu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Ndiyo maana ninamtuma, ili aichangamshe mioyo yenu kwa kuwaambieni habari zetu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Ndiyo maana ninamtuma, ili aichangamshe mioyo yenu kwa kuwaambieni habari zetu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Nimemtuma kwenu kwa lengo maalum la kuwafahamisha hali yetu, na pia awatie moyo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Nimemtuma kwenu kwa madhumuni haya ili mpate kufahamu hali yetu, na pia awatie moyo. Tazama sura |