Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wakolosai 4:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Nendeni kwa hekima mbele yao walio nje, mkiukomboa wakati.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Muwe na hekima katika uhusiano wenu na watu wasioamini, mkitumia vizuri wakati mlio nao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Muwe na hekima katika uhusiano wenu na watu wasioamini, mkitumia vizuri wakati mlio nao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Muwe na hekima katika uhusiano wenu na watu wasioamini, mkitumia vizuri wakati mlio nao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Nendeni kwa hekima mbele yao walio nje, mkiukomboa wakati.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Enendeni kwa hekima mbele yao walio nje, mkiukomboa wakati.

Tazama sura Nakili




Wakolosai 4:5
15 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, utufundishe kuzihesabu siku zetu, Tujipatie moyo wa hekima.


Mfalme akajibu, akasema, Najua hakika ya kuwa mnataka kupata nafasi, kwa sababu mmeona ya kuwa lile neno lenyewe limeniondoka.


Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwamwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.


Akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu, bali kwa wale walio nje, yote hufanywa kwa mifano,


Maana utii wenu umewafikia watu wote; basi nafurahi kwa ajili yenu, lakini nataka ninyi kuwa wenye hekima katika mambo mema, na wasio na hatia katika mambo mabaya.


Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.


ili mwende kwa adabu mbele yao walio nje, wala msiwe na haja ya kitu chochote.


Tena imempasa kushuhudiwa mema na watu walio nje; ili asianguke katika lawama na mtego wa Ibilisi.


Lakini mmoja wenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa.


Ni nani aliye na hekima na ufahamu kwenu? Na aoneshe kazi zake kwa mwenendo wake mzuri, katika upole wa hekima.


Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina, haina unafiki.


Kadhalika ninyi wake, watiini waume zenu; kusudi, ikiwa wako wasioliamini Neno, wavutwe kwa mwenendo wa wake zao, pasipo lile Neno;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo