Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wakolosai 4:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Waraka huu ukiisha kusomwa kwenu hakikisheni kwamba unasomwa katika kanisa la Walaodikia pia; na ule wa Laodikia usomwe na ninyi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Mkisha soma barua hii, hakikisheni kwamba inasomwa na Wakristo wa Laodikea; na nyinyi fanyeni mpango mpate kuisoma barua waliyoipata wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Mkisha soma barua hii, hakikisheni kwamba inasomwa na Wakristo wa Laodikea; na nyinyi fanyeni mpango mpate kuisoma barua waliyoipata wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Mkisha soma barua hii, hakikisheni kwamba inasomwa na Wakristo wa Laodikea; na nyinyi fanyeni mpango mpate kuisoma barua waliyoipata wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Baada ya barua hii kusomwa kwenu, hakikisheni kwamba inasomwa pia katika kundi la waumini wa Walaodikia. Nanyi pia msome barua inayotoka Laodikia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Baada ya barua hii kusomwa kwenu, hakikisheni kwamba inasomwa pia katika kundi la waumini la Walaodikia. Nanyi pia msome barua inayotoka Laodikia.

Tazama sura Nakili




Wakolosai 4:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yeremia akamwambia Seraya, Utakapofika Babeli, basi angalia uyasome maneno haya yote,


Maana nataka ninyi mjue jinsi ilivyo kuu juhudi yangu niliyo nayo kwa ajili yenu, na kwa ajili ya wale wa Laodikia, na wale wasioniona uso wangu katika mwili;


Maana namshuhudia kwamba ana juhudi nyingi kwa ajili yenu, na kwa ajili ya hao walioko Laodikia, na kwa ajili ya hao walioko Hierapoli.


Wasalimuni ndugu walioko Laodikia, na Nimfa, na kanisa lililo katika nyumba yake.


Nawaapisha kwa Bwana, ndugu wote wasomewe waraka huu.


Na ikiwa mtu awaye yote halishiki neno letu la barua hii, jihadharini na mtu huyo, wala msizungumze naye, apate kutahayari;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo