Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Wakolosai 3:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 kwa ajili ya mambo hayo huja ghadhabu ya Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Kwa sababu ya mambo hayo hasira ya Mungu huwajia wote wanaomwasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Kwa sababu ya mambo hayo hasira ya Mungu huwajia wote wanaomwasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Kwa sababu ya mambo hayo hasira ya Mungu huwajia wote wanaomwasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Kwa sababu ya mambo haya, ghadhabu ya Mungu inakuja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Kwa sababu ya mambo haya, ghadhabu ya Mwenyezi Mungu inakuja.

Tazama sura Nakili




Wakolosai 3:6
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mnafanya dhihaka yenu juu ya nani? Mmepanua vinywa vyenu, na kutoa ndimi zenu? Je, ninyi si wana wa uasi, uzao wa uongo;


Kwa maana ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni juu ya uasi wote na uovu wa wanadamu waipingao kweli kwa uovu.


Mtu asiwadanganye kwa maneno yasiyo na maana; kwa kuwa kwa sababu ya hayo hasira ya Mungu huwajia wana wa uasi.


Kama watoto wa kutii msijifananishe na tamaa zenu za kwanza za ujinga wenu;


wenye macho yajaayo uzinzi, watu wasiokoma kutenda dhambi, wenye kuhadaa roho zisizo imara, wenye mioyo iliyozoezwa kutamani, wana wa laana;


Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo