Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wakolosai 2:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Msishike, msionje, msiguse;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 “Msishike hiki,” “Msionje kile,” “Msiguse kile!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 “Msishike hiki,” “Msionje kile,” “Msiguse kile!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 “Msishike hiki,” “Msionje kile,” “Msiguse kile!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 “Msishike! Msionje! Msiguse!”?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 “Msishike! Msionje! Msiguse!”?

Tazama sura Nakili




Wakolosai 2:21
6 Marejeleo ya Msalaba  

lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema, Msiyale wala msiyaguse, msije mkafa.


Nendeni zenu, nendeni zenu, tokeni huko, msiguse kitu kichafu; tokeni kati yake; iweni safi ninyi mnaochukua vyombo vya BWANA.


Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.


Basi ikiwa mlikufa pamoja na Kristo mkayaacha yale mafundisho ya awali ya ulimwengu, kwa nini kujitia chini ya amri, kama wenye kuishi duniani,


(mambo hayo yote huharibika wakati wa kutumiwa); hali mkifuata maagizo na mafundisho ya wanadamu?


wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru wajiepushe na vyakula, ambavyo Mungu aliviumba vipokewe kwa shukrani na walio na imani wenye kuijua hiyo kweli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo