Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wakolosai 1:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Twamshukuru Mungu, Baba yake Bwana wetu Yesu Kristo, siku zote tukiwaombea;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Daima tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, wakati tunapowaombea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Daima tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, wakati tunapowaombea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Daima tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, wakati tunapowaombea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Siku zote tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Isa Al-Masihi, tunapowaombea ninyi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Siku zote tunamshukuru Mwenyezi Mungu, Baba wa Bwana wetu Isa Al-Masihi, tunapowaombea ninyi,

Tazama sura Nakili




Wakolosai 1:3
16 Marejeleo ya Msalaba  

ili kwa moyo mmoja na kwa kinywa kimoja mpate kumtukuza Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.


Namshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, kwa sababu ya neema ya Mungu mliyopewa katika Kristo Yesu;


Na ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa rehema, Mungu wa faraja yote;


Kwa sababu hiyo mimi nami, tangu nilipopata habari za imani yenu katika Bwana Yesu, na pendo lenu kwa watakatifu wote,


kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote;


Msijisumbue kwa neno lolote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.


Naye alituokoa kutoka kwa nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wake mpendwa;


Kwa sababu hiyo sisi nasi, tangu siku ile tuliposikia, hatuachi kufanya maombi na dua kwa ajili yenu, ili mjazwe maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote na ufahamu wa rohoni;


Twamshukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu nyote, tukiwataja katika maombi yetu.


Namshukuru Mungu, nimwabuduye kwa dhamiri safi tangu zamani za wazee wangu, kama vile nikukumbukavyo wewe daima, katika kuomba kwangu usiku na mchana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo