Wakolosai 1:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC25 ambalo nimefanywa mhudumu wake, kulingana na uwakili wa Mungu, niliopewa kwa faida yenu, nilitimize neno la Mungu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Nami nimefanywa kuwa mtumishi wa kanisa kufuatana na mpango wake Mungu ambao alinikabidhi kwa faida yenu. Mpango wenyewe ni kuutangaza kwa ukamilifu ujumbe wake, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Nami nimefanywa kuwa mtumishi wa kanisa kufuatana na mpango wake Mungu ambao alinikabidhi kwa faida yenu. Mpango wenyewe ni kuutangaza kwa ukamilifu ujumbe wake, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Nami nimefanywa kuwa mtumishi wa kanisa kufuatana na mpango wake Mungu ambao alinikabidhi kwa faida yenu. Mpango wenyewe ni kuutangaza kwa ukamilifu ujumbe wake, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Mimi nimekuwa mtumishi wa jumuiya ya waumini kwa wajibu alionipa Mungu ili kuwaletea ninyi neno la Mungu kwa ukamilifu: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Mimi nimekuwa mtumishi wa jumuiya ya waumini kwa wajibu alionipa Mwenyezi Mungu ili kuwaletea ninyi Neno la Mungu kwa ukamilifu: Tazama sura |