Wakolosai 1:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 kwa ndugu watakatifu na waaminifu katika Kristo, walioko Kolosai. Neema na iwe kwenu, na amani, zitokazo kwa Mungu Baba yetu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 tunawaandikia nyinyi watu wa Mungu huko Kolosai, ndugu zetu waaminifu katika kuungana na Kristo. Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 tunawaandikia nyinyi watu wa Mungu huko Kolosai, ndugu zetu waaminifu katika kuungana na Kristo. Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 tunawaandikia nyinyi watu wa Mungu huko Kolosai, ndugu zetu waaminifu katika kuungana na Kristo. Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Kwa ndugu watakatifu na waaminifu katika Al-Masihi wanaoishi Kolosai. Neema na amani zinazotoka kwa Mungu, Baba yetu, ziwe nanyi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Kwa ndugu watakatifu na waaminifu katika Al-Masihi, waishio Kolosai: Neema na amani zitokazo kwa Mungu Baba yetu ziwe nanyi. Tazama sura |