Wagalatia 6:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Maana mtu akijiona kuwa ni kitu, naye si kitu, ajidanganya nafsi yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Mtu akijiona kuwa ni kitu, na kumbe si kitu, huyo anajidanganya mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Mtu akijiona kuwa ni kitu, na kumbe si kitu, huyo anajidanganya mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Mtu akijiona kuwa ni kitu, na kumbe si kitu, huyo anajidanganya mwenyewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Mtu yeyote akijiona kuwa yeye ni bora na kumbe sivyo, basi mtu huyo anajidanganya mwenyewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Kama mtu yeyote akijiona kuwa yeye ni bora na kumbe sivyo, basi mtu huyo anajidanganya mwenyewe. Tazama sura |