Wagalatia 5:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Maana sisi kwa Roho tunalitazamia tumaini la haki kwa njia ya imani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Kwa upande wetu, lakini, sisi tunangojea kwa matumaini kwa nguvu ya Roho tufanywe waadilifu kwa njia ya imani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Kwa upande wetu, lakini, sisi tunangojea kwa matumaini kwa nguvu ya Roho tufanywe waadilifu kwa njia ya imani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Kwa upande wetu, lakini, sisi tunangojea kwa matumaini kwa nguvu ya Roho tufanywe waadilifu kwa njia ya imani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Kwa maana, kupitia Roho wa Mungu tunangojea kwa shauku tumaini la haki kwa imani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Kwa maana, kwa njia ya Roho kwa imani, tunangojea kwa shauku tumaini la haki. Tazama sura |