Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Wagalatia 5:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

25 Tukiishi kwa Roho, na tuenende kwa Roho.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Tukiishi kwa msaada wa Roho, na tuufuate mwongozo wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Tukiishi kwa msaada wa Roho, na tuufuate mwongozo wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Tukiishi kwa msaada wa Roho, na tuufuate mwongozo wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Kwa kuwa tunaishi kwa Roho wa Mungu, basi, tuenende kwa Roho.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Kwa kuwa tunaishi kwa Roho, basi, tuenende kwa Roho.

Tazama sura Nakili




Wagalatia 5:25
10 Marejeleo ya Msalaba  

Roho ndiyo itiayo uzima, mwili haufai kitu; maneno hayo niliyowaambia ni roho, tena ni uzima.


Na Kristo akiwa ndani yenu, mwili wenu umekufa kwa sababu ya dhambi; bali roho yenu i hai, kwa sababu ya haki.


Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima ule ulio katika Kristo Yesu imeniacha huru, mbali na sheria ya dhambi na mauti.


Ndivyo ilivyoandikwa, Mtu wa kwanza, Adamu, akawa kiumbe aliye hai; Adamu wa mwisho ni roho yenye kuhuisha.


Naye ndiye aliyetutosheleza kuwa wahudumu wa agano jipya; si wa andiko, bali wa roho; kwa maana andiko huua, bali roho huhuisha.


Basi nasema, Nendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili.


Maana sisi tu tohara, tumwabuduo Mungu kwa Roho, na kuona fahari juu ya Kristo Yesu, wala hatuutumainii mwili.


Maana kwa ajili hiyo hata hao waliokufa walihubiriwa Injili, ili kwamba wahukumiwe katika mwili kama wahukumiwavyo wanadamu; bali wawe hai katika roho kama Mungu alivyo hai.


Na baada ya siku hizo tatu u nusu, roho ya uhai itokayo kwa Mungu ikawaingia, wakasimama kwa miguu yao; na hofu kuu ikawaangukia watu waliowatazama.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo