Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wagalatia 5:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 upole na kiasi. Hakuna sheria inayoweza kupinga mambo hayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 upole na kiasi. Hakuna sheria inayoweza kupinga mambo hayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 upole na kiasi. Hakuna sheria inayoweza kupinga mambo hayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 upole na kiasi. Katika mambo kama haya hakuna sheria.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 upole na kiasi. Katika mambo kama haya hakuna sheria.

Tazama sura Nakili




Wagalatia 5:23
7 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, nitauletea afya na kupona, nami nitawaponya; nami nitawafunulia wingi wa amani na kweli.


Na Paulo alipokuwa akitoa hoja zake kuhusu haki, na kuwa na kiasi, na hukumu itakayokuja, Feliki akaingiwa na hofu na kusema, Sasa nenda zako, nami nikipata nafasi nitakuita.


Na kila ashindanaye katika michezo hujizuia katika yote; basi hao hufanya hivyo ili wapokee taji liharibikayo; bali sisi tupokee taji lisiloharibika.


Lakini mkiongozwa na Roho, hampo chini ya sheria.


akilifahamu neno hili, ya kuwa sheria haimhusu mtu asiye na hatia, bali wavunjao sheria, waasi, na makafiri, na wenye dhambi, na wanajisi, na wasiomcha Mungu, na wapigao baba zao, na wapigao mama zao, na wauaji,


bali awe mkarimu, mpenda wema, mwenye kiasi, mwenye haki, mtakatifu, mwenye kudhibiti nafsi yake;


ya kwamba wazee wawe wenye kiasi, wastahivu, wenye busara, wazima katika imani na katika upendo na katika subira.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo