Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wagalatia 5:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Lakini mkiumana na kulana, angalieni msije mkaangamizana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Lakini ikiwa mtaumana na kutafunana kama wanyama, jihadharini msije mkaangamizana wenyewe kwa wenyewe!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Lakini ikiwa mtaumana na kutafunana kama wanyama, jihadharini msije mkaangamizana wenyewe kwa wenyewe!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Lakini ikiwa mtaumana na kutafunana kama wanyama, jihadharini msije mkaangamizana wenyewe kwa wenyewe!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Lakini mkiumana na kutafunana, angalieni msije mkaangamizana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Kama mkiumana na kutafunana, angalieni, msije mkaangamizana.

Tazama sura Nakili




Wagalatia 5:15
16 Marejeleo ya Msalaba  

Na wivu wa Efraimu utaondoka, na wale wanaomwudhi Yuda watakatiliwa mbali; Efraimu hatamhusudu Yuda, wala Yuda hatamwudhi Efraimu.


na nyumba ikifitinika juu ya nafsi yake, nyumba hiyo haiwezi kusimama.


kwa maana hata sasa ninyi ni watu wa tabia ya mwilini. Maana, ikiwa kwenu kuna husuda na fitina, je! Si watu wa tabia ya mwilini ninyi; tena mnaenenda kwa jinsi ya kibinadamu?


Maana mwachukuliana na mtu akiwatia utumwani, akiwameza, akiwateka nyara, akijikuza, akiwapiga usoni.


Maana nachelea, nisije nikawakuta si kama vile nitakavyo kuwakuta, nikaonekana kwenu si kama vile mtakavyo; nisije nikakuta labda fitina na wivu, na ghadhabu, na ugomvi, na masingizio, na manong'onezo, na majivuno, na ghasia;


ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, mafarakano, uzushi,


Tusijisifu bure, tukichokozana na kuhusudiana.


Jihadharini na mbwa, jihadharini na watendao mabaya, jihadharini na wajikatao.


Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo.


Lakini, mkiwa na wivu wenye uchungu na ugomvi mioyoni mwenu, msijisifu, wala msiseme uongo juu ya kweli.


Abimeleki, na vile vikosi vilivyokuwa pamoja naye, wakafululiza, wakasimama penye maingilio ya lango la mji, na vile vikosi viwili vikawarukia hao wote waliokuwa mashambani, na kuwaua.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo