Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wagalatia 5:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Laiti hao wanaowatia mashaka wangejikata nafsi zao!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Laiti hao wanaowavurugeni wangejihasi wenyewe!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Laiti hao wanaowavurugeni wangejihasi wenyewe!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Laiti hao wanaowavurugeni wangejihasi wenyewe!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Laiti hao wanaowavuruga wangejihasi wao wenyewe!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Laiti hao wanaowavuruga wangejihasi wao wenyewe!

Tazama sura Nakili




Wagalatia 5:12
18 Marejeleo ya Msalaba  

Na mwanamume mwenye govi asiyetahiriwa nyama ya govi lake, mtu yule atatengwa na watu wake; amelivunja agano langu.


Labani akasema, Tazama, na iwe hivi kama usemavyo.


Mtakula mikate isiyochachwa muda wa siku saba; siku hiyo ya kwanza mtaondoa chachu yote isiwe katika nyumba zenu kabisa; kwa kuwa mtu yeyote atakayekula mkate uliochachwa tangu siku hiyo ya kwanza hata siku ya saba, nafsi hiyo atakatiliwa mbali na Israeli.


Mtu yeyote atakayechanganya mafuta mfano wa haya, au mtu yeyote atakayetia mafuta haya juu ya mgeni, mtu huyo atatengwa mbali na watu wake.


Waambie, Mtu yeyote wa kizazi chenu chote katika vizazi vyenu, atakayevikaribia vile vitu vitakatifu, ambavyo wana wa Israeli wamtakasia BWANA, naye ana unajisi, mtu huyo atatengwa asiwe mbele zangu; mimi ndimi BWANA.


Wakajibu, wakamwambia, Ama! Wewe ulizaliwa katika dhambi tupu, nawe unatufundisha sisi? Wakamtoa nje.


Kwa kuwa tumesikia ya kwamba watu waliotoka kwetu wamewasumbua kwa maneno yao, wakipotosha roho zenu, ambao sisi hatukuwaagiza;


Anania aliposikia maneno haya akaanguka, akafa. Hofu nyingi ikawapata watu wote walioyasikia haya.


Petro akamwambia, Imekuwaje hata mkapatana kumjaribu Roho wa Bwana? Angalia, miguu yao waliomzika mumeo ipo mlangoni, nao watakuchukua nje wewe nawe.


Lakini hao walio nje Mungu atawahukumu. Ninyi mwondoeni yule mbaya miongoni mwenu.


Bali kwa ajili ya ndugu za uongo walioingizwa kwa siri; ambao waliingia kwa siri ili kuupeleleza uhuru wetu tulio nao katika Kristo Yesu, ili watutie utumwani;


Nina matumaini kwenu katika Bwana, ya kwamba hamtakuwa na nia ya namna nyingine. Lakini yeye anayewasumbua atachukua hukumu yake, awaye yote.


Aliyejeruhika konde, au aliyekatika tupu yake, asiingie mtu huyo katika mkutano wa BWANA.


Mtu aliye mzushi, baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ya pili, tengana naye;


Ndiposa wana wa Israeli hawawezi kusimama mbele ya adui zao; wakawapa visogo adui zao, kwa sababu wamelaaniwa; mimi sitakuwa pamoja nanyi tena, msipokiharibu kitu kile mlicho nacho kilichowekwa wakfu.


Yoshua akasema, Mbona umetufadhaisha hivi? BWANA atakufadhaisha wewe leo. Ndipo Israeli wote wakampiga kwa mawe, kisha wakawateketeza kwa moto, na kuwapiga kwa mawe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo