Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wagalatia 4:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Niambieni, ninyi mnaotaka kuwa chini ya sheria, je! Hamwisikii sheria?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Niambieni, enyi mnaopenda kutawaliwa na sheria: Je, mnasikia isemavyo sheria?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Niambieni, enyi mnaopenda kutawaliwa na sheria: Je, mnasikia isemavyo sheria?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Niambieni, enyi mnaopenda kutawaliwa na sheria: Je, mnasikia isemavyo sheria?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Niambieni, ninyi mnaotaka kuwa chini ya sheria, je, hamjui sheria inavyosema?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Niambieni, ninyi mnaotaka kuwa chini ya sheria, je, hamjui sheria inavyosema?

Tazama sura Nakili




Wagalatia 4:21
16 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akajibu, akawaambia, Musa aliwaamuru nini?


Abrahamu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao.


Yesu akawajibu, Je! Haikuandikwa katika torati yenu ya kwamba, Mimi nimesema, Ndinyi miungu?


Basi mkutano wakamjibu, Sisi tumesikia katika torati ya kwamba Kristo adumu hata milele; nawe wasemaje ya kwamba imempasa Mwana wa Adamu kuinuliwa? Huyu Mwana wa Adamu ni nani?


Lakini litimie lile neno lililoandikwa katika torati yao, Walinichukia bure.


Basi twajua ya kuwa mambo yote inenayo torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, ili kila kinywa kifumbwe, na ulimwengu wote uwe chini ya hukumu ya Mungu;


Kwa maana dhambi haitawatawala ninyi, kwa sababu hamwi chini ya sheria, bali chini ya neema.


Kwa maana wale wote walio wa matendo ya sheria, wako chini ya laana; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika yote yaliyoandikwa katika kitabu cha Torati, ayafanye.


Bali sasa mkiisha kumjua Mungu, au zaidi kujulikana na Mungu, kwa nini kuyarejea tena mafundisho ya kwanza yaliyo manyonge, yenye upungufu, ambayo mnataka kuyatumikia tena?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo