Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wagalatia 4:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 bali yuko chini ya mawakili na watunzaji, hadi wakati uliokwisha kuamriwa na baba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Wakati huo wote yuko chini ya walezi na wadhamini mpaka wakati ule uliowekwa na baba yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Wakati huo wote yuko chini ya walezi na wadhamini mpaka wakati ule uliowekwa na baba yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Wakati huo wote yuko chini ya walezi na wadhamini mpaka wakati ule uliowekwa na baba yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Yeye huwa chini ya uangalizi wa walezi na wadhamini hadi ufike wakati uliowekwa na baba yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Yeye huwa yuko chini ya uangalizi wa walezi na wadhamini mpaka ufike wakati uliowekwa na baba yake.

Tazama sura Nakili




Wagalatia 4:2
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa wakati ulioamriwa atarudi, na kuingia upande wa kusini; lakini wakati wa mwisho mambo hayatakuwa kama yalivyokuwa wakati wa kwanza.


Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia.


Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni lolote mtakalo nanyi mtatendewa.


Kwa kuwa ijapokuwa mna waalimu elfu kumi katika Kristo, lakini hamna baba wengi. Maana mimi ndimi niliyewazaa katika Kristo Yesu kwa njia ya Injili.


Hivyo torati imekuwa kiongozi kutuleta kwa Kristo, ili tuhesabiwe haki kwa imani.


Lakini nasema ya kuwa mrithi, wakati wote awapo mtoto, hana tofauti na mtumwa, ingawa ni bwana wa yote;


Kadhalika na sisi, tulipokuwa watoto, tulikuwa tukitumikishwa na kawaida za kwanza za dunia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo