Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wagalatia 3:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Kama vile Abrahamu alivyomwamini Mungu akahesabiwa haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Chukueni kwa mfano habari za Abrahamu: Yeye alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Chukueni kwa mfano habari za Abrahamu: Yeye alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Chukueni kwa mfano habari za Abrahamu: yeye alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Kama vile “Ibrahimu alimwamini Mungu na ikahesabiwa kwake kuwa haki.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Kama vile “Ibrahimu alimwamini Mungu na ikahesabiwa kwake kuwa haki.”

Tazama sura Nakili




Wagalatia 3:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwamini BWANA, naye akamhesabia jambo hili kuwa haki.


bali na kwa ajili yetu sisi mtakaohesabiwa vivyo hivyo, sisi tunaomwamini yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu katika wafu;


Basi hao walio wa imani hubarikiwa pamoja na Abrahamu aliyekuwa mwenye imani.


Maandiko yale yakatimizwa yaliyonena, Abrahamu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa ni haki; naye aliitwa rafiki wa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo