Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wagalatia 3:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Basi aliye mjumbe si mjumbe wa mmoja; bali Mungu ni mmoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Ama hakika, mpatanishi hahitajiwi ikiwa jambo lenyewe lamhusu mtu mmoja; na Mungu ni mmoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Ama hakika, mpatanishi hahitajiwi ikiwa jambo lenyewe lamhusu mtu mmoja; na Mungu ni mmoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Ama hakika, mpatanishi hahitajiwi ikiwa jambo lenyewe lamhusu mtu mmoja; na Mungu ni mmoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Basi mpatanishi huhusisha zaidi ya upande mmoja, lakini Mungu ni mmoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Basi mpatanishi huhusisha zaidi ya upande mmoja, lakini Mungu ni mmoja.

Tazama sura Nakili




Wagalatia 3:20
11 Marejeleo ya Msalaba  

Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,


Hapana mwenye kuamua katikati yetu, Awezaye kutuwekea mkono sote wawili.


Naye Herode alikuwa amewakasirikia sana watu wa Tiro na Sidoni; wakamwendea kwa nia moja, na wakiisha kufanya urafiki na Blasto, mwenye kukitunza chumba cha mfalme cha kulala, wakataka amani; kwa maana nchi yao ilipata riziki kwa nchi ya mfalme.


Nisemalo ni hili; agano lililothibitishwa kwanza na Mungu, torati iliyotokea miaka mia nne na thelathini baadaye hailitangui, hata kuibatilisha ile ahadi.


Sikiliza, Ee Israeli; BWANA, Mungu wetu, BWANA ndiye mmoja


Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu;


na Yesu mjumbe wa agano jipya, na damu ya kunyunyizwa, inenayo mema kuliko ile ya Habili.


Lakini sasa amepata huduma iliyo bora zaidi, kwa kadiri alivyo mjumbe wa agano lililo bora, lililoamriwa juu ya ahadi zilizo bora.


Na kwa sababu hii ni mjumbe wa agano jipya, ili, mauti ikiisha kufanyika kwa kukomboa makosa yaliyokuwa chini ya agano la kwanza, hao walioitwa waipokee ahadi ya urithi wa milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo